SCENE
54: -
END
OF FLASHBACK: -
MAHAKAMANI
KESI INAPOSIKILIZWA: -
(Colton anamaliza kusimulia
ilivyokuwa mpaka amefika hapo)
Colton:
ndo ilikuwa hivyo (kwa Miriam) naomba
unisamehe na nipo tayari kwa adhabu yoyote itakayotolewa
Miriam:
(anatikisa kichwa)
Colton:
iam so sorry miriam...iam sorry my sister
Miriam: (Analia)
Mwanasheria
2: (anabaki anashangaa na haelewi
yanayoendelea hapo)
Ariana:
(anachanganyikiwa)
Keddy: (anamshangaa)
Ken: Ariana…
Ariana:
(anacheka cheka)
Keddy:
shida nini?
Ariana:
kila nachofanya hakiwezekani kwa Miriam… (anapiga
makofi) nilijua leo Miriam atahukumiwa kifo ila badala yake mimi ndo nimeumbuka
mwenzenu…(anacheka) jamani nimeumbuka
Keddy: Ariana
Ariana:
(kwa mama yake) nini? wewe si umefurahi?
Keddy:
hapana mwanangu…najua natakiwa kukasirika kwa vitu ulivyomfanyia mwenzio
Ariana:
sio mwenzangu na hawezi kuwa mwenzangu
Ken: Ariana
Miriam ni mdogo wako
Ariana:
sio ndugu yangu…wewe huwaoni ndugu zake? Baba na mama yake hao hapo na kaka
yake huyo hapo wote wanampenda…mimi sijawahi kupendwa na mtu…tangu Mdogo nipo
peke yangu kila mara mlikuwa mpo busy kumuomba Mungu awape mtoto
mwingine…mlisahau kuwa na mimi nipo…baada ya Miriam kuja maishani mwetu
mkasahau kuwa mimi ni mtoto wenu
Ken: Ariana
sio kweli wewe ni mtoto wetu na tunakupenda sana
Ariana:
sikuwahi kuona huo upendo…kila mara ilikuwa ni miriam yeye ndo alikuwa mtoto
mzuri mwenye adabu na akili…
Keddy:
sio kweli Ariana
Ariana:
(Analia)
Ken:
wewe umekuwa ni mtoto wetu mpendwa
Ariana:
sio kweli baba na mama (Analia)
nilifanya hayo sababu ya uchungu sana kila mara akili yangu ilijaa mawazo na
moyo wangu ulijaa hasira
Keddy:
uliamua kufanya hivyo ulisikia hasira mwanangu tulipomleta Miriam nyumbani
hukumtaka tangu mwanzo ndo maana ulitengeneza chuki kwa Miriam…ungemkubali tu
Miriam na pia tulikuwa tunasali maana tulikuwa tunakuona u mpweke sana kila
kitu tulikuwa tunakuwaza na tulipomleta Miriam tulijua utafurahi kama
ungempokea kwa upendo Miriam ungeona kila kitu kipo fair ni kwasababu uliweka
ukuta ndo maana ulimchukia
Ariana:
(anacheka kwa dharau) Zaidi ukaruhusu
mapenzi ya Jeremy na Miriam
Ken:
Jeremy na Miriam walikuwa wanapendana sana na hata kama ungeoana na Jeremy ndoa
isingekuwa ya Amani
Ariana:
tungependana tu
David: (anafika mahakamani hapo akiwa na mkewe)
Jeremy: (anawaona wazazi wake) njoo ukae hapa
baba
David:
kuna nini? Sikuja maana nilikuwa naona huruma sana
Jeremy:
limeisha baba
David:
afadhali
(wanaendelea kusikiliza)
Ariana:
ni nyie wazazi wangu ndo mmesababisha nikawa hivi nimeishi kwa mateso sana na
mwisho wangu ni mbaya sasa nini maana ya mimi kuwepo kwenye hii dunia?
Keddy: (Analia sana)
Ken: (Analia sana) mwanangu
Ariana:
nachukia sana haya maisha nachukia jina langu najichukia hata mimi…hivi kwanini
nilizaliwa? (Analia)
Watu: (wanamuangalia wengine kwa huzuni wengine kwa
kumshangaa)
Miriam:
dada (anamuendea Ariana) dada (anamkumbatia)
Ariana:
(anamsukuma kwa nguvu) embu nitokee
hapa nani dada yako? Mnafki mkubwa wewe
Jeremy:
(anamdaka Miriam) are you okay?
Colton:
(amekaa kimya)
Miriam: yes,
iam fine
Ariana:
sasa (anatoa bastola kwenye mkoba)
nitajiua sasa hivi
Hakimu:
(anagonga meza kuamuru utulivu)
Ariana:
najiua hapa sasa hivi
Keddy:
nakuomba mwanangu usifanye hivyo…nakuomba mama hili litaisha tutatafuta
mwanasheria mzuri atakusaidia Ariana wewe kiri tu kosa utapunguziwa adhabu
Ariana:
nilienjoi sana kuona mateso ya Miriam niligharamika sana kuona mateso ya Miriam
sijuti wala nini afadhali mara moja tu maishani mwangu nimepata nafasi ya
kufurahia… (kwa Miriam) I hate you
nakuchukia sana wewe mwanaharamu
Ken:
usimuite mdogo wako hivyo...
Ariana:
kwani nasema uongo? wazazi wake walikuwa sio wanandoa mama yake alikuwa hawara
ndo akazaliwa
Mary:
usimtukane mwanangu
Ariana: oh,
mama mwenye mtoto kaingilia (anacheka kwa
dharau) I don’t give a damn (anafyonza)
Askari: (wanajiandaa kumkamata)
Araina:
hata msijisumbue
Colton:
(amekaa kimya)
Jeremy:
(anamshika Miriam) hujaumia?
Miriam:
sijaumia…please naomba umsaidie dada yangu
Jeremy:
pamoja na yote aliyokufanyia umemsamehe?
Miriam:
ndio Jeremy…
Jeremy:
isingekuwa Mungu wewe sasa hivi si tungekuwa tunalia kwamba umehukumiwa kifo…
Miriam:
hayo nayasahau Jeremy…
Jeremy:
usimsogelee atakuumiza
Miriam:
(anamsogelea Ariana)
Mary: (anamvuta kwa nguvu) Miriam…
Miriam:
mama
Vincent:
tulia Miriam…
Ariana:
msinisogelee… (anataka kukimbia)
(Askari kadhaa wanamkamata na
kumfunga pingu)
Ariana:
niacheni
Askari:
(wanampeleka gerezani)
Miriam: Ariana…
Colton:
(anamuendea dada yake)
Miriam:
kaka
Colton:
(Anamkumbatia huku Analia) iam so
sorry my sister
Miriam:
it is okay dear brother…
Colton:
tangu nimekuona siku ya kwanza nimekutendea yasiyo mazuri
Miriam: usijali
ni mapito tu hayo kaka…namtukuza Mungu aliyelifumbua hili ingawa nasikitika
kuwa kaka yangu utapata shida
Colton:
nilijitakiwa mwenyewe acha nilipe
Miriam:
iam so sorry brother…lakini tupo pamoja
Vincent:
wanangu (anawakumbatia) asante Mungu
Miriam upo huru sasa
Mary: (anafurahi sana) nimelia sana asante
Mungu umesikia kilio changu
Keddy:
hongereni sana
Mary:
hongera kwetu sote
Miriam:
(kwa Keddy) mama nisamehe
Keddy: oh,
Miriam kwanini?
Miriam:
kwa lolote
Keddy:
hapana Ariana amevuna alichopanda
Miriam:
oh mama
Keddy: (anatokwa machozi)
Jeremy:
(anamshika bega Keddy) mama usilie
Hakimu:
(anagonga meza kuamuru utulivu)
(utulivu)
Hakimu:
baada ya kusikia hayo mahakama inamuachia huru Miriam Kenedy na kiumshikilia
Bwana Colton Vincent Mshana na kumhukumu miaka mitatu jela kwa kosa la
kushirikiana na Ariana Kenedy kwenye kuidanganya mahakama…kesi hii imefungwa
rasmi
(Mwanasheria na Jeremy
wanakumbatiana kwa ushindi)
Miriam: (hana raha pamoja na kwamba wameshinda hilo)
Ken: (analia sana)
Miriam: (anamfuata Ken) dad
Ken: (anamkumbatia) iam so sorry kwa mateso
yote yaliyosababishwa na Ariana
Miriam:
baba (anamkumbatia)
Jeremy:
twendeni nyumbani mama kijacho
(wanacheka)
Askari:
(wanamchukua Colton)
(wanabaki wakiwa na
hisia mchanganyiko huzuni lakini pia furaha kwa kuwa UKUU wa MUNGU
umejidhihirisha)
0 Comments