SCENE 7: -
(majira ya saa nne usiku, Liliana
anajiandaa kulala katika godoro lake hafifu analolifanya kitanda na chumba
chake ni stoo yenye giza totoro, baada ya kutandika kitanda chake analala huku
amewasha tochi yake ndogo inayotumia betri, wakati yupo usingizini anashtuliwa
na mtu na anaamua kukaa ili amsikilize anachosema)
Liliana:
mjomba mbona usiku sana mi nimechoka nataka kulala ili kesho niwahi kuamka niwaandalie
chai na mimi niwahi shule
Mjomba:(anacheka) nimekuja kuchukuaa jibu langu
(anamshika mkono kwa nguvu)
Liliana:
mjomba unafanya nini? unaniumiza mikono
Mjomba:
acha kudeka…wewe mtoto wa Paulina kwanini unajifanya una msimamo?
Liliana:(anaanza kulia)
Mjomba:(anaweka kidole mdomoni mwake ishara ya kumnyamazisha)
ssssh…nyamaza…na ninaomba unisikilize
Liliana:(anaonekana anaogopa sana) mjomba…
Mjomba:
hata usiogope Liliana sitakuua tena itakuwa vizuri nitakuwa nakutetea kwa
shangazi yako asiwe anakupiga na wala kukutesa
Liliana:
hapana mi kwanza bado ni mdogo sana mjomba na pia ni mtoto wa dada yako…
Mjomba:
nimeshakuambia na ninakuambia tena huyo dada yangu hayupo tena ameshakufa
kwahiyo wewe ni halali yangu…ukikataa nakubaka…
Liliana:
najua huwezi kufanya hivyo
Mjomba:(anacheka) kweli eeh
Liliana:(anamshangaa)
Mjomba:(anamvua nguo zake kwa nguvu)
Liliana:(Analia) mjomba niache jamani… (Analia tena)
Mjomba:(anamuingilia kimwili kwa nguvu)
Liliana:(Analia
sana) shangazi
(upande wa pili chumbani alipolala shangazi
yake Liliana anasikia kilio kile ila wala hanyanyuki kumsaidia)
Shangazi:(anajifunika shuka vizuri)
Mjomba:(anaendelea kumuingilia Liliana kimwili
bila hata ya huruma)
Liliana:
mama yangu… (Analia sana) nakuita
mama yangu jamani uko wapi?
Mjomba:(anamaliza na kushuka kifuani kwa mtoto Liliana)
sasa hiyo itakuwa sio mwisho leo ni kila siku…wewe ni mke mdogo (anacheka kisha anaondoka)
Liliana:(Analia sana) mama kwanini ulikufa na
kuniacha yatima sasa sisomi shule nzuri, mimi ndo kijakazi humu ndani…nalala
stoo wakati hii ni nyumba yetu, ona sasa mama mjomba amenibaka tena bila hata
huruma na mimi ni mtoto mdogo sana mama yangu…kwanini ulikufa umeniacha mdogo
hivi mama (Analia sana) mama yangu jamani
(anazima tochi yake kisha analala huku
anaendelea kulia sana) kesho nitamwambia shangazi…
(Mlango unafunguliwa)
Liliana:
hapana mjomba nimeumia sana, sitaki tena (anawasha
tochi)
Anna:
hapana binamu ni mimi…mbona unamuogopa baba?
Liliana:
hapana binamu…simuogopi labda nilikuwa naota…
Anna:
mbona unalia?
Liliana:
hapana mbona mimi silii?
Anna:
nimekusikia unalia na ndo maana nimekuja kukuona
Liliana:
nitakuwa nilikuwa naota…
Anna:
hapana binamu, kuna kitu unanificha…niamini nitakusaidia
Liliana:(anaanza kulia tena) binamu naomba
unitoroshe niondoke hapa la si hivyo nitakufa au nitajiua
Anna:
kwanini unasema hivyo?
Liliana:
siwezi endelea kukaa siwezi binamu
Anna:
kwanini?
Liliana:
nateseka Anna…nitakufa (Analia)
Anna:
nakuelewa binamu…sasa ukitoka hapa utaenda kuishi wapi?
Liliana:
popote tu
Anna:na
ndugu zetu wengi wanaishi nchi za nje jamani…
Liliana:mi
hata sijui nitafanyaje ila tu nataka unisaidie kutoroka hapa
Anna:
hapana ngoja tufanye hivi nitamuulizia rafiki yangu shuleni kama unaweza kukaa
kwao kidogo baadae nitakusaidia hata hela kidogo nitamuibia mama, ili upange
hata chumba
Liliana:
nitashukuru dada yangu
Anna:
sawa unaniamini?
Liliana:
ndio…
Anna:
niambie unalilia nini?
Liliana:(kimya)
Anna:
niamini kuwa nitakuwa na wewe siku zote za maisha yako…
Liliana:
mjomba amenibaka
Anna:(anashangaa sana) eti nini? (anatikisa kichwa ishara ya kusikitika)
baba yangu ni Zaidi ya mnyama…hafai katika jamii
Liliana:
ndio binamu hapa nilipo nina maumivu makali sana…
Anna:(Analia) maskini binamu yangu, ndo maana
nimesikia kilio cha uchungu sana kumbe baba yangu ndo alikuwa anafanya unyama
kama huo?
Liliana:na
amesema sio mwisho leo…kwanzia leo nitakuwa mke mdogo
Anna:
haiwezekani…lazima tumwambie mama
Liliana:
nitamwambia kesho patakapopambazuka
Anna:
sasa ninaelewa kwanini unataka kutoroka mi nilijua ni kwasababu ya manyanyaso
ya mama yangu kumbe hata baba yangu amekunyanyasa jamani tena kijinsia na
kimwili…baba yang undo kakuumiza Zaidi
Liliana:(Analia)
Anna:(anamfuta machozi) nyamaza usile binamu
yangu…nitatafuta njia nikamshtaki polisi na kuanzia leo hatakugusa hata iweje
labda kama sipo
Liliana:
asante dada yangu
Anna:
kuna wanadamu ni kama wanyama na wanyama ni afadhali sana…sasa wewe si mdogo
sana hata mimi ni mkubwa kwako tena mbali sana
Liliana:
mimi nina miaka saba tu dada
Anna:
pole mdogo wangu (anamuangalia usoni)
maskini yaani unatia huruma ila mimi nitakuwa na wewe muda wote hata usemeje
nitakuwa na wewe tu
Liliana:
asante dada
Anna:
umekula?
Liliana:
ndio…
Anna:
ila sidhani kama ulishiba
Liliana:
ah…sijisikii kula
Anna:
poa mi ngoja nikalale…twende tukalale huku
Liliana:
Bella yupo
Anna:
niachie mimi (ananyanyuka na kutoka nje)
Liliana:(ananyanyuka na kumfuata)
(Wanaenda mojakwa moja mpaka
chumbani kwa Anna na Bella na wanapofika Anna anamsogeza Bella ukutani na
kumlaza Liliana)
Bella:(anashtuka toka usingizini) mbona yupo
hapa?
Anna
:( anacheka kidogo) hivi hujui huyu
ndo mwenye hii nyumba na vitanda vyote sasa nakuomba ulale kimya hapa
Bella
:( haleti ubishi analala)
Anna
:( anawafunika shuka kisha na yeye
analala)
0 Comments