I KILLED MY LOVER 12

 


SCENE 12

(Majira ya saa tatu usiku Liliana anaingia chumbani kwake ambapo ni stoo, anaonekana amechoka sana na kazi za siku ile, anajilaza lakini baada ya kama dakika tano shangazi yake anakuja akiwa amefura kwa hasira)

Shangazi: wewe Malaya mbwa…vile vyombo tulivyovitumia umemuachia nani? au kuna mama yako hapa wa kuviosha?

Anna:(anakuja) mama Liliana amechoka sana na anaonekana anaumwa sana

Shangazi: haumwi huyu anajifanyisha tu mshenzi sana huyu mtoto…mvivu sana (anaanza kumpiga na fimbo kubwa aliyoiweka stoo humo kwa ajili ya kumpigia Liliana kila mara amekutwa na kosa Fulani)

Anna: mama…huyu mtoto anaumwa

Shangazi: afe…mshenzi sana huyu anatudekeadekea hapa utasema sisi ni wazazi wake awafate sasa ili na sisi tupumzike na kulea mtoto asiye na msaada wowote (anampiga sana) kufa (anaona haitoshi anamkaba shingo) kufa

Anna: mama…jamani (anatoka na kukimbilia kwa majirani) jamani majirani

(Baadhi ya majirani wanatoka)

Mama: nini Anna?

Anna: mama anampiga sana binamu yaani anamkaba kama anataka kumuua tafadhali nisaidieni…

Jirani: jamani…

(Majirani wanakimbilia nyumbani kwa kina Anna na kumkuta kweli Liliana anapigwa vibaya sana)

Jirani 1: jamani wewe mwanamke mbona huna huruma

Shangazi: inawahusu nini? huyu ni mwanangu nina mamlaka ya kumpia nitakavyo

Mama: jamani mtoto analala na makorokoro kibao jamani…huyu ni mwanao kweli?

Liliana:(anapata nafasi na kukimbilia nje na kutokomea kusikojulikana)

Jirani 2: usikimbie…

Mama: keshakimbia na usiku huu sijui itakuwaje mi naona tuwapigie simu polisi wamtafute sasa hivi ni usiku sana na hatutampata kirahisi

Anna: twendeni sisi wenyewe tukamtafute binamu yanu ni mtoto mdogo tu yanaweza kumkuta makubwa…huko

Jirani 1: hapana hatuwezi kumpata katuacha mbali sana na wala hatuwezi kujua ameelekea wapi

Shangazi:(amesimama hapo kama sanamu akiwasikiliza wanavyopanga mikakati ya kumpata mtoto Liliana)

Mama:(anasogea pembeni kidogo na kupiga simu)

Jirani1: ila sio vizuri kumtesa huyu mtoto na kila siku tunasikia huyu mtoto Analia kwa uchungu huwa tunaona ni masuala ya familia yao na hatuwezi kuingilia

Shangazi:(kwa kejeli) kilichowaleta leo ni nini?

Jirani1: Anna amekuja kutuita…. ya leo ilikuwa kali mpaka umefika hatua ya kumkaba mtoto mdogo kama yule loh…wewe mwanamke ulaaniwe ona sura lako lilivyo baya kama roho yako loh…!!!

Mama:(anarudi) aisee polisi hawawezi kutusaidia labda mpaka keho

Jirani 2: hawa polisi nao…

Anna: naomba nikamtafute mwenyewe

Mama: acha tu mwanangu…Mungu atamlinda usiku huu

(Majirani wanaondoka na kurudi majumbani kwao)

Shangazi:(kwa Anna) haya haraka nenda kalale kujifanya wewe ndo steringi wa muvi kusaidia watu

Anna:(anaenda kulala huku Analia sana)

(Upande wa Liliana anakimbia kuelekea shuleni kwao, shule ya msingi ya kata na kujihifadhi huko)

Liliana:(analala pembeni kidogo ya geti huku anaongea na kumuomba Mungu wake) Mungu kwanini uliwachukua wazazi wangu kwanini usingenichukua mimi? nateseka sana sili chakula kizuri tangu wazazi wangu walipofariki na wala sivai nguo nzuri…nguo zangu zote nzuri amepewa Bella mimi silali pazuri…ile nyumba ni ya wazazi wangu lakini leo hii naishi kwa kufanyishwa kazi siku nzima hata kusoma imekuwa ni mtihani kwangu…napigwa sana…silali nafanya kazi kama punda jamani (Analia sana na kwa uchungu sana)

Mlinzi :( anakuja baada ya kusikia mtoto Analia) nani huyo Analia?

Liliana:(anafuta machozi) shikamoo anko…

Mlinzi: marahaba…mbona upo hapa?

Liliana: nimetoroka nyumbani shangazi amenipiga sana na nina njaa sana…

Mlinzi:(anamuangalia kwa matamanio makubwa sana) unataka chakula?

Liliana: ndio anko naomba unisaidie chakula

Mlinzi:(anaangalia huku na huku) nisaidie kwanza mimi kisha nitakusaidia au unaonaje?

Liliana: mimi sina cha kukusaidia anko

Mlinzi:(anajichekesha kama mwenda wazimu) unacho kizuri sana kuliko chakula nipe tu…nitakupa chakula maana bado hapa kuna baa nyingine bado ziko wazi nitakununulia chipsi

Liliana: sawa tu ilimradi tu mimi nipate chakula na sehemu ya kulala…

Mlinzi: sawa (anaanza kumshikashika)

Liliana:(kwa kuhamaki kidogo) nini hiyo…?

Mlinzi: huo msaada niliokuomba…nafanya tu kidogo halafu nakupa juisi na chipsi…

Liliana:(anajikuta anakubali)

Mlinzi :( anamvua nguo huku anachekelea kama mjinga huku anavaa mpira)

Liliana :( Analia sana)

Mlinzi: wewe nae sasa unalia nini?

(Bila huruma mlinzi yule anambaka mtoto mdogo sana ambae hata bado hajapevuka tena mwenye umri mdogo wa miaka saba tu, dhambi kubwa sana na unyama mkubwa)

Mlinzi:(anafanya kitendo hicho mpaka anatosheka wakati huo Liliana Analia sana huku akimtaja mama yake aje amsaidie) safi sana… (ananyanyuka na kuvaa suruali yake huku anacheka kidogo) haya binti nyanyuka na uende zako…hakuna msaada wowote hapa…

Liliana :( anashikwa na bumbuwazi) si uliniambia kuwa utanipa msaada nikikupa msaada

Mlinzi: sasa unahisi...saa nne hii natoa wapi chakula na pia hapa utaniletea shida tu wakikukuta umelala hapa…sitaki kesi…nina watoto nyumbani na mke na wanategemea kazi yangu hii sina msaada na wewe ondoka

Liliana :( Analia Sana) lakini mwenzio nina njaa…

Mlinzi: hainihusu hata kidogo kwakweli

Liliana: nisaidie sijala tangu asubuhi na pia tumbo linaniuma

Mlinzi: kafie mbele huko…toka

Liliana :( Analia kwa uchungu) sasa mimi nitaenda kula wapi

Mlinzi: yaani Hilo swali unaniuliza Mimi…una akili kweli wewe?

Liliana :( anashikwa hasira) ipo siku moja nitakujeruhi vibaya Sana Zaidi na ulivyonifanyia leo

Mlinzi:si ndo mpaka unipate… (anacheka sana) kafie mbele huko…

Liliana :( anaondoka huku Analia sana) amenifanyia hivi…amenibaka kisha akaninyima chakula (Analia) sawa tu…

Mlinzi: eti…atanijeruhi…lini sasa? ila nimeenjoi…kaatoto kadogo ila dah…kapo vizuri sijui nikaite tena nikadanganye

Liliana:(anaondoka huku Analia sana) kuna watu wabaya sana bora mjomba alikuwa ananibaka lakini ananipa chakula…huyu amenibaka kanidanganya kuhusu chakula kisha akanicha solemba bila hata maji ya kunywa jamani…

Mlinzi:(bado anamcheka kwa kejeli na dharau) chombo cha starehe… (anacheka sana)

Liliana:(anamgeukia kumuangalia vizuri) nataka kuukariri uso wako ili siku nikikuona tena nisikusahau… (anaugulia tumbo) njaa sana…

(Kuna mama anapita na vitafunwa na anaonekana anatoka kuuza maandazi kwa wanywa kahawa na tangawizi usiku)

Liliana:(anamkimbilia) mama…samahani naomba andazi moja sijala toka asubuhi

Mama:(kwa huruma anatua mzigo wake anaosha kikombe anamimina chai anatoa maandazi manne na kumpa ale) haya mwanangu wewe kula tu...mi naenda

Liliana:na vyombo je?

Mama: tumia tu (anabeba mizigo yake na kuondoka)

Liliana:(anakula harakaharaka) asante Mungu… (anakula mwisho anamaliza) nimeshiba… (anaenda kwenye mtaro na kujilaza hapo)

Post a Comment

0 Comments