I KILLED MY LOVER 57

 


SCENE 57: -

NYUMBANI KWA LILIANA: -

 (Liliana yupo nyumbani kwake peke yake anaonekana kufurahi ukimya wa mahali pale)

Liliana: (anashusha pumzi kama mtu aliyechoka sana) asante Mungu kwa haya…(anatabasamu) maisha yangu ni hadithi ila pamoja na hayo nakushukuru Mungu wangu kwa yote…asante hata kwa kuniruhusu kujisamehe mimi mwenyewe kwa kosa la kumuua Robert(anakunywa kahawa yake) asante hata kwa kuniruhusu kupenda tena ingawa mara ya kwanza nilikuwa naogopa juu ya kupendana na mtoto wa baba wa mwanangu ila ukaruhusu mimi na Raphael kuwa pamoja asante Mungu…kwenye huu ukimya napenda kukushukuru sana Mungu wangu kwa fadhili na wema ulionitendea asante hata kwa kunikutanisha na mama yangu Bianca akanilea nikasahau ya kale yote (anasikitika kidogo) asante pia kwa maisha ya Bianca Mungu wangu…asante pia hata kwa maisha ya wazazi wangu walioniacha nikiwa mdogo nikapitia yale yote naamini hiyo yote ilikuwa ni kwa makusudi yako ili ujitwalie utukufu,asante Mungu wangu jina lako lihimidiwe Asante sana

(Kengele ya mlango wake inalia)

Liliana: itakuwa Raphael (ananyanyuka na kwenda kufungua mlango) kari… (anasahangaa sio Raphael bali ni yule rafiki yake Raphael aliyepinga uhusiano wa Raphael na Liliana) shemeji?

Rafiki 2: naweza kuingia?

Liliana: yes, sure… (anaufungua mlango kuruhusu rafiki huyo kuingia)

Rafiki 2: hivi unanijua jina langu?

Liliana: hapana (huku anaenda jikoni) nikupatie nini juisi, kahawa, maji au nini?

Rafiki: no thanks

Liliana: (anarudi alipo rafiki)

Rafiki 2: naitwa King

Liliana: sawa shemeji

King: niite King tu

Liliana: sawa

King: (anamuangalia kwa uchu) mnafunga lini hiyo ndoa?

Liliana: baada ya miezi mitatu

King: (anaguna kama mtu aliyekasirishwa na taarifa hiyo)

Liliana: (anagundua) are you okay?

King: ofcourse (anakaa kimya kidogo) hivi umempendea nini Raphael

Liliana: (kwa kuhoji) excuse me?

King: utatembeaje na baba na mtoto huku tupo sisi wanaume tunaojitambua na kujielewa?

Liliana: kwani Raphael hajielewi?

King: ndio

Liliana: kivipi?

King: anajua kabisa wewe ni mama yake halafu anapita mulemule alipopita baba yake mtu kama huyo unaona anajielewa

Liliana: nitajifanya sijasikia maneno yako

King: Liliana I love you nakupenda sana nataka uwe mpenzi wangu yaani natamani sana kampani yako hata sasa hivi na nimekuja kwa ajili hiyo

Liliana: what are u talking about?

King: wewe ni mtu mzima na unajua fika kabisa nachoongelea

Liliana: najua ndio unachoongelea ila sikuelewi basi ndo maana ulikuwa unatukana siku ile kumbe una lako jambo?

King: siku ile nilisema ukweli mtupu

Liliana: get out of my house now

King: (anajaribu kumshika) sijawahi kukataliwa na mwanamke

Liliana: una upuuzi mwingi sana ndo maana uko hivyo

King: nipoje?

Liliana: just get out right now sitaki hata kukuona

King: nakupenda na nimekuja kula tunda hakuna atakayejua kama nimekuomba na ukanipa

Liliana: Tokaaaa

King: (anamlazimisha kumvua nguo)

Lilian: we kichaa nini? (Anamsukuma kisha anapata upenyo kukimbilia chumbani kwake anapanda ngazi haraka Sana anafika chumbani kwake anafunga mlango kwa ndani)

King: acha utoto bwana unaogopa mwanaume kwani wewe ni bikra?

Liliana: nampigia Rapha simu

King: (anacheka kwa kejeli) unadhani namuogopa?

Liliana: naomba uondoke jamani sikutaki

King: jamani unadhani kuna mtu atajua kuwa tumepeana? na tutaendelea hata ukiolewa na huyo Rapha

Liliana: sina mpango wa kumsaliti mume wangu siolewi na Raphael ili nije nimsaliti

King: acha kujifanya mtakatifu huna jipya unataka pesa hata mimi ninazo nitakutunza mimi hata sikuoi maana nina mtu wangu nampenda sana yaani mimi na wewe tutakuwa tunapeana mambo mazuri tu unajua kukaa na mtu mmoja inaboa ee utaona tu hata wewe utakavyokuwa unaboreka na huyo Rapha

Liliana: nasema hivi naomba uondoke sitaki na wala sipenda upuuzi wako

King: please baby allow me to enjoy your body mtoto una figa tamu mpaka nikiiongelea tu najaa mate ndo maana baba na mtoto wamedata hapo

Liliana: Oh God please help me

King: jamani Liliana si ufungue tena humo chumbani ndo pazuri kweli

Liliana: (anaanza kulia) Raphael where are you my love…uko wapi mpenzi wangu

King: hayupo yule nae si fala

Liliana: wewe sijui King Sijui nani naomba uende zako

King: duh haya bwana Kama umekataa jamani ila natamani tamuuuu

Liliana: ondoka (anafyonza)

(Kuna ukimya kwa muda)

Liliana: (anafungua mlango Kwa uangalifu) afadhali ameondoka

(Ghafla King Anamshika mkono)

King: nimekukamata (Anacheka Sana)

Liliana: niache (kwa bahati mbaya anateleza na kuanguka vibaya kwenye ngazi, anabiringita mpaka chini anapofika chini anajibamiza kichwa na kuzimia)

King: (anaduwaa) He! Kafaa? (Anashuka ngazi haraka anafika anashika mapigo ya moyo) hakuna mapigo ya moyo au amekufa? Mungu wangu nisije nikawa nimemuua Mimi (anaguna) yaani kateseka huko ndo nije nimuue Mimi? Eeh Mungu wangu ngoja niondoke kabla ya sijaonwa na mtu yoyote (anakimbia)

BAADA YA DAKIKA 20: -

(Raphael anafika nyumbani hapo akiwa amebeba maua mazuri anabonyeza kengele ya mlango mara kadhaa bila majibu)

Raphael: huyu yuko wapi? (Anaita) mama Bianca?

(Kimya)

Raphael: (anasukuma mlango unafunguka, anaingia ndani anakuta Liliana amelala sakafuni na damu zinatoka kichwani anachanganyikiwa anaangusha maua na kumkimbilia mpenzi wake) baby… nini mama

Liliana: (anafumbua macho kwa shida)

Raphael: nani? Kafanya haya mama?

Liliana: (anapoteza fahamu tena)

Raphael: (anambeba na kumpeleka kwenye gari lake anamlaza anapanda kwenye gari kisha analiondoa kwa kasi sana) you will be fine my love I promise you…you gonna be fine I swear (anaendesha gari kwa kasi sana) Everything will be fine my love...Mungu yupo

Liliana: (hali yake sio nzuri kabisa)

Post a Comment

0 Comments